Podcasts

Tutakuwa tunaweka makala ya mada mbali mbali katika mtandao wetu wa podcast yetu. Karibu sana
  1. story yangu na Mwenye Umari
  2. Story Yangu
  3. Professional diver
  4. Kisa cha Ferry ya Mtongwe Kuzama
  5. Vile Mwanabaharia Swaleh Yahya alipata kisanga akiwa baharini na ndugi yake na Mtalii
  6. Vile kijana Murad Swaleh aliingilia Dawa za Kulevya tokea utotoni na kueza kujitoa baadae
  7. Vile Mwanahabari alipoteza macho yake kwa ugonjwa unaoitwa Glaucoma
  8. Utunzaji wa mazingira umekua changamoto kubwa sana kote ulimwenguni kwani mabadiliko ya hali ya hewa imeathiri vigezo vingi katika jamii ikiwemo afya, hewa safi, maji safi ya kunywa,chakula na makazi salama.

     

    Kufuatia hali hio wanafunzi katika shule ya Salex Transition Academy iliyoko eneo la Mtongwe kaunti ya Mombasa wamejitosa katika kukabili mabadiliko ya tabia nchi,kwa kutumia mbinu ya kubadilishana chupa za plastiki kwa sodo,miti na vifaa vingine vya masomo.

    Fatuma Hamisi mwenye umri wa miaka 13 ni mwanafunzi katika shule ya msingi ya Salex Transition Academy.Yeye ni mwanafunzi wa gredi ya 6 na  pia ni miongoni mwa wanafunzi wanaojishughulisha na utunzaji wa mazingira katika shule hiyo.

    Mwandishi:Athuman Luchi












  9. Licha ya idadi ya wanawake katika taalum ya teknologia kuwa ndogo ikilinganishwa na idadi ya wanaume, wanawake wameonekana kupambana ili kukabiliana na tofauti hiyo.

    Ripoti kutoka benki kuu ya dunia inaonyesha kuwa wanawake wako chini ya thuluthi moja ya wafanyikazi ulimwenguni katika nyanja zinazohusiana na teknolojia.

    Ambapo wanashikilia asilimia 28 ya kazi zote za kompyuta na hisabati, na asilimia15.9 ya kazi za uhandisi na usanifu

    Mwandishi:Nuru Mwalimu

  10. Makala haya yanazungumzia kuhusu uchafuzi wa bahari hasa katika eneo la Mbuyuni-Mji wa Kale kaunti ya Mombasa.

    Eneo hilo limeathirika na maji taka yanayotoka katika nyumba zinazopakana na ufuo wa bahari.Makala haya yametayarishwa na Ruth Keah.

  11. 17-year-old Jane is among the children with mental disabilities who were molested and impregnated. Jane is currently raising a three-month-old baby boy.

    By Rose Tawa.

  12. Mabadiliko ya Tabia Nchi yameathiri sana wakulima na wafugaji hatua inayo wafanya wengi kukumbwa na tatizo la afya ya Akili.Kufuatia hatua hio sasa baadhi ya wakulima wanajizatiti kukabiliana na Afya ya Akili Inayosababishwa na mabadiliko hayo.Sasa wakulima hao,wamejitosa katika ufugaji wa nyuki na vipepeo,huku wengine wakifanya biashara ndogo ndogo za kukimu mahitaji ya familia.

    Athuman Luchi,ametuandalia makala hayo aliyoyapa jina la Wakulima Wanavyokabiliana na Afya ya Akili Inayosababishwa na Climate Change



  13. Makala haya yanazungumzia kuhusu hatua ambazo zimepigwa na wadau mbalimbali kuhakikisha kuwa dhulma za mtandaoni zinaripotiwa na wahusika kuchukuliwa hatua za kisheria. Yametayarishwa na Ruth Keah.

  14. Makala haya yanazungumzia kuhusu ujangili unaofanyiwa viumbe vya baharini. Yametayarishwa na Ruth Keah.

  15. Makala haya yanazungumzia kuhusu mbinu ya Rangi ambayo wanabodaboda kaunti ya Mombasa wanatumia kutofautisha sehemu wanazohudumu kama njia moja ya kukabiliana na visa vya uhalifu. Makala yametayarishwa na Ruth Keah.

  16. Makala haya yanazungumzia kuhusu juhudi za mashirika mbalimbali ambayo yamekuja pamoja kukabiliana na uvuvi wa kutumia mbinu haramu katika eneo la Shimoni Kwale. Yametayarishwa na Ruth Keah.

  17. Ukataji wa miti kiholela umesababisha mabadiliko ya tabianchi,kiangazi,mmomonyoko wa udongo,mafuriko na ongezeko la hewa chafu hatua inayochangia athari mbali mbali kwa jamii.

    Kufuatia mabadiliko hayo ya tabia nchi,sasa jamii imejitokeza kuja na mbinu mbali mbali za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.

    Makundi ya wanawake na vijana katika kaunti ya kwale yanaendeleza mpango wa upanzi wa miti,walioupa jina la Mti wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi katika kila boma.


    By Rose Tawa.

  18. Makala haya yanazungumzia kuhusu jamii ilivyoungana kulinda mazingira hasa mikoko katika eneo la Mida Creek Dabaso. Hatua iliyowafanya kujenga mkahawa juu juu ya mikoko na kwasasa mkahawa huo umekuwa kivutio kikubwa cha watalii kutoka humu nchini na hata nje ya nchi. Mtayarishi ni Ruth Keah.

  19. Mabadiliko ya tabia nchi yanazidi kuathiri kila mtu kila siku,kufuatia hayo watu wenye ulemavu wamejikita katika mbinu mbali mbali za kukabiliana na mabadiliko hayo ya tabia nchi jijini Mombasa.Mwanahabri wetuNuru Mwalimuametuandalia makala yanayosimulia juhudi za watu wenye ulemavu katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

  20. Makala haya yanazungumzia kuhusu juhudi mbalimbali ambazo wanahabari wa Radio wanafanya kuhakikisha kuwa habari wanazopeperusha hewani ni za uhakika. Yametayarishwa na Ruth Keah

  21. Kaunti ya Kilifi katika miaka ya hivi karibuni imetajwa kuwa Moja wapo ya kaunti zinazoongoza Kwa idadi kubwa ya wasichana wanaopata mimba za mapema nchini.

    Takwimu kutoka kwa mfumo wa taarifa za afya nchini yaani Kenya Health Information System zikionyesha kuwa jumla ya wasichana 4,909 walio na umri wa kati ya miaka 15-18 walipata mimba katika kipindi Cha mwezi Januari Hadi Agosti Mwaka 2021.

    Na kama anavyosimulia Ali Mwalimu kwenye makala haya, mashirika mbalimbali kaunti ya Kilifi yamejitokeza kukabiliana na tatizo hilo.

  22. Kifafa ni ugonjwa wa ubongo unaosababisha mtu kupoteza fahamu kwa muda.

    Ugonjwa huu unaweza kumsababishia mtu kufanya vitendo visivyokuwa vya kawaida kama vile kuanguka, kufifitika na hata baadhi ya wagonjwa kutojielewa.

    Kulingana na takwimu kutoka kwa shirika la afya dunia WHO, takriban watu milioni 50 duniani wanaugua maradhi haya, na kuyafanya kuwa miongoni mwa maradhi maarufu zaidi ya ubongo duniani.

  23. Makala haya kuhusu Uji wa chekechea yametayarishwa na Baya Kitsao.

  24. Idadi kubwa ya wanawake wenye saratani ya matiti maeneo ya vijijini wamezongwa na kasumba kwamba saratani ya matiti ni kifo na sio rahisi kwa mgonjwa kupona.

    Ili kufutilia mbali kasumba kuwa saratani ya matiti ni kifo,nilifanikiwa kufanya mahojiano na Anna Nyambura ambaye alipona saratani ya matiti baada ya kupata matibabu humu nchini pamoja na Daktari Riyaz Kasmani ambaye ni mtaalamu wa ungojwa wa saratani.

    Mwandishi: Rose Tawa.

  25. Makala ya habari ghushi kuhusu Corona ambazo zilikuwa zikisambaa kuwa madaktari wa kienyeji walikuwa wakitibu virusi vya Corona. Imetayarishwa na Baya Kitsao.

  26. Makala ya Dosari Ya Shilingi yalioandaliwa na Oscar Ochieng yanahusu madeni katika kaunti ya Mombasa. Makala haya yanazamia sababu zinazopelekea kaunti hii kushuhudia madeni ya kiwango cha juu ndani ya miaka mitano ya kifedha iliyopita wakati ambapo utawala wa sasa umeunda jopo kung'amua ukweli kuhusu madeni hayo.

  27. Hali ya kiangazi na mabadiliko ya tabia nchi inaendelea kukumba sehemu mbali mbali humu nchini, hivyo basi inasababisha kushuka kwa kiasi kikubwa kwa mazao ya chakula.Hali hii imeathiri mapato na kupanda kwa bei za vyakula.

    Katika kutafuta suluhu zinazowezekana kukabili hali hii, kikundi cha wanawake wakulima kutoka eneo la Lunga Lunga,walianzisha mradi unaoitwa "agrivoltaics,"yaani kutumia paneli za jua katika ukulima ambao husaidia kukabiliana na hali ya ukame unaozidi kuongezeka.

  28. Kwa mara nyingi sekta ya usambazaji wa gasi safi imechukuliwa kama kazi inayofanywa na wanaume. Makala haya yanazungumzia kuhusu wanawake kutoka kaunti ya Mombasa waliojiingiza katika sekta hiyo na kujipatia kipato na kuimarisha maisha yao. Mtayarishi wa makala haya ni Ruth Keah.

  29. Wizara ya afya nchini Kenya ilirekodi visa 45,724 vya mimba za utotoni mnamo Januari na Februari mwaka 2022.Visa hivyo ni vya wasichana wenye umri wa kati ya miaka 10 na 19 wakiwemo watoto wenye ulemavu wa akili.Watoto hao wenye ulemavu wengi ubakwa na kupachikwa mimba na kuachwa wakiangaika pasi usaidizi.

    Mwandishil:Rose Tawa


  30. Licha ya kuwa na haki ya urithi pindi mwanawake anapofiliwa na mumewe, jamii imekua tishio kubwa kwa kina mama pindi wanapofiliwa kutona na mila na desturi potofu katika jamii huku takwimu nchini zikionesha kuwa takriban wajane milioni 8 nchini wametelekezwa kutokana na mila potofu na umaskini.

    Mwandish:  Nuru Mwalim.

  31. Makala haya yanahusu wanawake wanaopata mafunzo ya kujikimu kimaisha wakati ambapo suala la ajira limekuwa changamoto nchini. Kando na kujikimu ki maisha, mafunzo wanayopata vile vile yanalenga kusaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

  32. Wakazi wengi ukanda wa pwani wamekuwa wakitegemea kilimo cha nchi kavu.

    Lakini kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yanayosababisha hali ya ukame kukithiri, Sasa baadhi yao hasa wanawake wamegeukia kilimo mbadala cha baharini kama anavyoeleza Ruth Keah kwenye makala ifuatayo.

  33. Wakazi wengi ukanda wa Pwani wamekuwa wakitegemea kilimo cha nchi kavu.

    Lakini kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yanayosababisha hali ya ukame kukithiri, Sasa baadhi yao hasa wanawake wamegeukia kilimo mbadala cha baharini kama anavyoeleza Ruth Keah  kwenye makala ifuatayo.

  34. Kina mama wanaolea Watoto walio na maradhi ya kichwa maji (hydrocephalus) na mgongo wazi (Spinabifida) hupitia changamoto chungu nzima ikiwemo kutelekezwa na waume zao.

    Hata hivyo chakutia moyo hapa ni kwamba kuna baadhi ya wazazi wanaume ambao wameanza kuwa na ufahamu kuhusu magonjwa hayo,

    Na wanasaidia wazazi wa kike kuwapeleka Watoto hao hospitalini kwa matibabu, na mazoezi.

    Kama anavyoeleza Ruth Keah kwenye Makala yafuatayo.

  35. Kina mama wanaolea Watoto walio na maradhi ya kichwa maji (hydrocephalus) na mgongo wazi (Spinabifida) hupitia changamoto chungu nzima ikiwemo kutelekezwa na waume zao.

    Hata hivyo chakutia moyo hapa ni kwamba kuna baadhi ya wazazi wanaume ambao wameanza kuwa na ufahamu kuhusu magonjwa hayo,

    Na wanasaidia wazazi wa kike kuwapeleka Watoto hao hospitalini kwa matibabu, na mazoezi.

    Kama anavyoeleza Ruth Keah kwenye Makala yafuatayo.

  36. Kila mwaka Alhamisi ya pili ya mwezi Oktoba ni maalumu kwa kuelimisha jamii kuhusu ulemavu wa kuona, athari zake na njia za kuzuia matatizo ya macho.

    Mwaka huu,siku hiyo iliadhimishwa tarehe 13 mwezi wa Oktoba. Makala haya ambayo yametayarishwa na Ruth Keah, yanazungumzia kuhusu mwanamke ambaye ana changamoto ya kuona lakini amepuuza changamoto hiyo na anahudumia jamii kwa njia mbalimbali.

  37. Makala haya yanazungumzia kuhusu jinsi idara ya afya gatuzi dogo la Rabai kaunti ya Kilifi ilivyoweka mikakati ya kuzuia kusambaa kwa homa ya Chikungunya.

    Hii ni baada ya homa hiyo kuripotiwa kaunti jirani ya Mombasa.

    Imetayarishwa na kusimuliwa na Ruth Keah.

  38. Makala haya yanazungumzia kuhusu jinsi idara ya afya gatuzi dogo la Rabai kaunti ya Kilifi ilivyoweka mikakati ya kuzuia kusambaa kwa homa ya Chikungunya.

    Hii ni baada ya homa hiyo kuripotiwa kaunti jirani ya Mombasa.

    Imetayarishwa na kusimuliwa na Ruth Keah.

  39. Tangu ya kuanzishwa kwa Mradi wa Skills Mtaani eneo bunge la Mvita zaidi ya Vijana 11,000 wamenufaika na mradi huo na sasa wengine wameajiriwa na wengine wamefungua biashra zao.

    Mwanahabari wetu Athuman Luchiametuandalia makala,kuhusu mradi huo.

  40. Makala haya yanazungumzia kuhusu wanawake katika Kijiji cha Kibokoni kinachopatikana na bahari kaunti ya Kilifi waliokuwa wakikata miti na kuuza kuni.

    Wanawake hao sasa wamebadilika, kwa sasa wanajishughulisha na ufugaji wa samaki vidimbwini na kuuza ili kujikimu kimaisha.

    Makala haya yametayarishwa na kusimuliwa na Ruth Keah.

  41. Makala haya yanazungumzia kuhusu wanawake katika Kijiji cha Kibokoni kinachopatikana na bahari kaunti ya Kilifi waliokuwa wakikata miti na kuuza kuni. 

    Wanawake hao sasa wamebadilika, kwa sasa wanajishughulisha na ufugaji wa samaki vidimbwini na kuuza ili kujikimu kimaisha.

    Makala haya yametayarishwa na kusimuliwa na Ruth Keah.

  42. Makala haya yanazungumzia kuhusu juhudi ambazo wakazi wa Kijiji cha Ganahola, eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa wanafanya kulinda mikoko baharini.

    Wakazi hao wanafanya ufugaji wa nyuki ambao hutoa ulinzi kwa mikoko eneo la Tudor Creek hiyo saa 24/7 hivyo hakuna watu wanaweza kuiharibu.

    Imatayarishwa na kusimuliwa na Ruth Keah.

  43. Makala haya yanaangazia juhudi za kijana kutoka kaunti ya Kilifi-Kenya anayeng'aa katika soka ya kimataifa licha ya kuwa mlemavu. Licha ya kukatazwa kucheza na wazazi wake, hakufa moyo na kuendeleza kipaji chake na kwasasa anategemewa na familia yake kutokana na kipato anachopata kutokana na kucheza soka.

  44. Kijiji cha Jimba, wadi ya Ruruma eneo bunge la Rabai kaunti ya Kilifi, ni kijiji ambacho kimetegemea sana ukulima kama njia ya kujipatia riziki.

    Lakini kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, shughuli za kilimo zimepungua kwa kiasi kikubwa, hivyo basi kupelekea jamii nyingi katika kijiji hicho kuishi katika hali ya chini ya Maisha na kushindwa kujiendeleza kimasomo.

    Lakini kuna matumaini ya tatizo hilo kuzikwa katika kaburi la sahau kupitia mchezo upendwao na wengi wa soka.

    Kama anavyoeleza mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala yafuatayo.

  45. Kijiji cha Jimba, wadi ya Ruruma eneo bunge la Rabai kaunti ya Kilifi, ni kijiji ambacho kimetegemea sana ukulima kama njia ya kujipatia riziki.

    Lakini kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, shughuli za kilimo zimepungua kwa kiasi kikubwa, hivyo basi kupelekea jamii nyingi katika kijiji hicho kuishi katika hali ya chini ya Maisha na kushindwa kujiendeleza kimasomo.

    Lakini kuna matumaini ya tatizo hilo kuzikwa katika kaburi la sahau kupitia mchezo upendwao na wengi wa soka.

    Kama anavyoeleza mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala yafuatayo.

  46. Mirundiko ya takataka sio tu katika nchi kavu bali pia baharini kwa miaka mingi imekuwa shida kubwa kuthibiti, taka za baharini zikichangia kuharibika kwa miamba ya matumbawe.

    Lakini katika Kijiji cha Mkwiro kaunti ya Kwale Ukanda wa pwani, baadhi ya taka za baharini na zile za nchi kavu zimegeuzwa kuwa thamani kwa kutumia mchakato mbadala wa kutengeneza chupa za matumbawe.

    Kama anavyoeleza mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala yafuatayo.

  47. Kwa mujibu wa Baraza la Taifa la Watu Wenye Ulemavu nchini Kenya asilimia 0.3% ya watu wanaugua ulemavu wa akili jijini Mombasa.

    Wengi wa wenye ulemavu wa akili ukumbwa na unyanyapa,msongo wa mawazo na utengwa katika jamii,hivyo wanajipata wakirandaranda mitaani.

    Juma Ali ni kijana mwenye umri wa miaka 30, aliyepona matatizo ya akili yaliyomsumbua kwa muda wa miaka 5.

    Anasema alianza kurukwa na akili baada ya kumpoteza mchumba wake katika ajali ya barabarani.Anataja kifo hicho kilimfanya kukabwa na msongo wa mawazo na kuanza kutembea uchi na kushambulia watu.

    Mwandishi:Athuman Luchi.

  48. Watoto wengi wenye matatizo ya akili upitia unyanyasaji wa kingono,kupachikwa ujauzito na wengi wa wanao bakwa usalia kimya wasijue wapi pa kuripoti kisa hicho,Mariam mwenye umri wa miaka 16 ni kati ya watoto wenye ulemavu wa akili walionajisiwa na kupachikwa mimba.

    Mariam ambalo si jina lake kamili alibakwa na kusalia kimya bila hata kumjulisha mamake.

    Kwa Sasa Mariam analea mtoto mvulana mwenye umri wa miezi mitatu.Anataja kuwa alikuwa ameenda msalaani kujisaidia na huko ndiko alikumbana na jamaa aliyemdhulumu kwa kumbaka.

    Mwandishi:Athuman Luchi

  49. Bara la afrika limemulikwa sana katika ukuaji wa miundo msingi yake katika sekta mbalimbali ikiwemo ujenzi na upanuzi wa barabara.

    Licha ya miradi hiyo kurahisisha usafiri kwa mwananchi,bado kuna changamoto kubwa kwa jamii ya watu wenye ulemavu kutokana na ukosefu wa miundo mbinu rafiki kwao.

    Kama anavyoeleza mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala haya.

  50. Mwaka wa 2017 hadi mwaka 2018, kaunti ya Mombasa ilishambuliwa na mkurupuko wa homa ya Chikungunya.

    Homa ambayo ilikua mara ya kwanza kushuhudiwa.

    Ili kukabili mkurupuko huo,kaunti ya Mombasa iliweka mikakati mbalimbali ikiwemo kuhusisha wahudumu wa afya wa kujitolea.

    Hatua ambazo zilizaa matunda kama anavyoeleza mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala haya.

  51. Mwaka wa 2017 hadi mwaka 2018, kaunti ya Mombasa ilishambuliwa na mkurupuko wa homa ya Chikungunya.

    Homa ambayo ilikua mara ya kwanza kushuhudiwa.

    Ili kukabili mkurupuko huo,kaunti ya Mombasa iliweka mikakati mbalimbali ikiwemo kuhusisha wahudumu wa afya wa kujitolea.

    Hatua ambazo zilizaa matunda kama anavyoeleza mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala haya.

  52. Watu wenye ulemavu ni miongoni mwa makundi ya jamii zilizotengwa.

    Na ili kuimarisha uwakilishi wao katika ulingo wa siasa,Kumekuwa na kila juhudi kuhakikisha kuwa makundi yaliyotengwa yamepata nafasi sawa za uwakilishi.

    Hata hivyo kulingana na matokeo yaliyoshuhudiwa baada ya uchaguzi mkuu wa Agosti 9 humu nchini Kenya, hayakuwapendeza watu wenye ulemavu.

    Kama anavyoarifu mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala haya.

  53. Kutokana na ajali nyingi za barabarani zinazoshuhudiwa humu nchini hasa kwa watu wanaotembea, Serikali iliweka mikakati ya kupunguza ajali hizo kwa kujenga madaraja ya juu ili mwananchi atumie kwa usalama wake mwenyewe.

    Lakini licha ya hatua hiyo ya serikali, bado kuna baadhi ya watu wanaopuuza kutumia daraja hizo,mwishowe huishia kutiwa nguvuni na polisi ama askari wa kaunti kwa kukiuka sheria.

    Mhariri wetu Ruth Keah amefanya mahojiano na baadhi ya watu walioshikwa na kueleza yaliyojiri mikononi mwa maafisa hao wa usalama.

  54. Kupanda kwa gharama ya maisha kumeathiri wanawake wenye ulemavu wengi wao wakiwa walezi ambao hawana kazi na wengine wakitegemea kuomba omba mitaani.

    Mfumko huo wa bei za vyakula umewafanya wengi wao kulala njaa kwa kukosa namna ya kukidhi mahitaji ya familia zao.

    Mwandishi:Nuru Mwalimu

  55. Licha ya wanawake waliojifungua kusisitizwa kunyonyesha watoto wao,bado kunao ambao hawanyonyeshi watoto.

    Kulingana na shirika la afya duniani WHO, karibu watoto 2 kati ya 3 hawanyonyeshwi maziwa ya mama pekee kwa miezi 6 iliyopendekezwa—kiwango ambacho hakijaimarika katika miongo 2.

    Mwandishi:Zahra Nakaya Akosa.

  56. Kaunti ya Mombasa imekuwa ikishuhudia mkurupuko wa homa zinazosababishwa na mbu ikiwemo homa ya Dengue, Chikungunya na Malaria.

    Magonjwa ambayo yanasababishwa na aina Fulani ya mbu.

    Mhariri wetu Ruth Keah katika Makala yafuatayo,ameeleza juhudi mbalimbali zilizochukuliwa na wadau wa afya kuhakikisha kuwa inatokomeza magonjwa hayo.

  57. Kaunti ya Mombasa imekuwa ikishuhudia mkurupuko wa homa zinazosababishwa na mbu ikiwemo homa ya Dengue, Chikungunya na Malaria.

    Magonjwa ambayo yanasababishwa na aina Fulani ya mbu.

    Mhariri wetu Ruth Keah katika Makala yafuatayo,ameeleza juhudi mbalimbali zilizochukuliwa na wadau wa afya kuhakikisha kuwa inatokomeza magonjwa hayo.

  58. Katika miji mingi kumeshuhudiwa ombaomba wa aina tofauti tofauti.

    Katika kundi la ombaomba kuna makundi makuu matatu ambao ni watoto, walemavu na wazee.

    Kundi kumbwa ambalo lina wahusika wengi katika kuomba ni kundi la watu wenye ulemavu.

    Lakini kwa Naima Omar Ali, amekataa kuwa katika kundi hilo la kuomba na badala yake kujitolea kufanya kazi za kusaidia jamii bila malipo.

    Naima alifanya mahojiano na muhariri wetu Ruth Keah kwenye makala ifuatayo.

  59. Licha ya jamii na baadhi ya familia kuonekana kuwakejeli watu wenye ulemavu,hali ilikuwa tofauti kwa familia ya Lucy Chesi na dadazake wawili ambao wote walizaliwa na ulemavu wa viungo.Wazazi wake walijizatiti na kuwalea vyama na kuwapa elimu ya kutosha.Katika msururu huo wa maisha,Lucy na wenzake walipitia unyanyasaji lakini,waliupuzilia mbali na kusonga mbele kimaisha na kutibithishia umma kuwa ulemavu sio ugonjwa na haustahili kukejeliwa na unyanyasaji.

    Mwandishi:Athuman Luchi

  60. Licha ya wanawake wenye ulemavu kujitosa kwenye siasa,bado wanakumbwa na changamoto ya usafiri kufuatia maumbile yao,hasa kwa walemavu wenye matatizo ya viungo vya miguu na wale wasioona.

    Wanasiasa hawa ambao wanawania kama wawaniaji huru jijini Mombasa,hawana gari za kufanyia kampeni mashinani,hatua inayowafanya kulemaza kampeni zao.

    Mwanahabari wetu Athuman Luchi ametusimulia.

  61. Wanasiasa wanawake wenye ulemavu ubaguliwa ,hukejeliwa na kutengwa katika harakati za kisiasa kufuatia maumbile yao,ubaguzi huo unawaathiri wanasiasa hao wenye ulemavu,hatua inayowafanya kushindwa kuendeleza azima yao ya kuwania viti vya kisiasa.

    Mwandishi:Athuman Luchi

  62. Makala haya yanazungumzia kuhusu changamoto ambazo jamii ya watu walio na changamoto ya kuona wanapitia wakati wa upigaji kura uchaguzini.

    Mwandishi:Ruth Keah

  63. Takwimu zilizowasilishwa kwa kamati ya Seneti ya Afya mwezi Machi na Waziri wa Afya Mutahi Kagwe zinaonyesha ugonjwa wa mfadhaiko ndio aina ya ugonjwa wa akili unaoenea zaidi nchini.

    Amina Abdalla ni Mwanzilishi wa kituo cha Women Empowerment for Mental illiness Treatment and Rehabilitation Centre, anasema aliamua kuanzisha makao hayo baada ya kuona hakuna makao ya kuishi ya watu wenye akili punguani wanaorandaranda ovyo mitaani na barabarani.

    Mwandishi: Nuru Mwalimu.

  64. Mwaka wa 2019 raisi Uhuru Kenyatta alizindua rasmi zoezi la wasichana walio na umri wa miaka 10 kupewa chanjo ya saratani yaani HPV, lakini zoezi hilo lilipata pingamizi kutoka kwa wadau mbalimbali nchini.

    Katika Makala haya,mhariri wetu Ruth Keah ameangazia kuhusu habari za urongo ambazo zilifanya wazazi kupuuza chanjo hiyo na wataalamu ambao wamekosoa habari hizo za urongo.

  65. Mabadiliko ya tabia nchi yaani climate change, uvuvi haramu,ongezeko la chupa za plastiki baharini na kuharibiwa kwa matumbawe kumetajwa kuwa moja wapo ya mambo yanayoathiri viumbe wa majini na shughuli za uvuvi.

    Lakini ongezeko la joto na kiwango cha maji ya bahari ni miongoni mwa mambo yanayotishia ustawi wa bahari ambayo ni tegemeo kwa Maisha ya binadamu.

    Mhariri wetu Ruth Keah alizuru eneo la Shimoni na kuangazia jinsi jamii ya eneo hilo inavyotunza na kupanda miamba ya matumbawe baharini.

  66. Mabadiliko ya tabia nchi yaani climate change, uvuvi haramu,ongezeko la chupa za plastiki baharini na kuharibiwa kwa matumbawe kumetajwa kuwa moja wapo ya mambo yanayoathiri viumbe wa majini na shughuli za uvuvi.

    Lakini ongezeko la joto na kiwango cha maji ya bahari ni miongoni mwa mambo yanayotishia ustawi wa bahari ambayo ni tegemeo kwa Maisha ya binadamu.

    Mhariri wetu Ruth Keah alizuru eneo la Shimoni na kuangazia jinsi jamii ya eneo hilo inavyotunza na kupanda miamba ya matumbawe baharini.

  67. Licha ya wanawake wenye ulemavu kujitosa kwenye siasa,bado wanakumbwa na changamoto ya usafiri kufuatia maumbile yao,hasa kwa walemavu wenye matatizo ya viungo vya miguu na wale wasioona.

    Wanasiasa hawa ambao wanawania kama wawaniaji huru jijini Mombasa,hawana gari za kufanyia kampeni mashinani,hatua inayowafanya kulemaza kampeni zao.

    By Rose Tawa

  68. Licha ya Kifungu  81[1c] cha katiba kusisitiza uwakilishi wa usawa na haki kwa watu wenye ulemavu bado wanawake wenye ulemavu waliojitosa kwenye siasa,wanakumbwa na ubaguzi wa kisiasa kutoka kwa wapinzani wao na hata wafuasi wa wapinzani hao.

    Pia kifungu cha katiba cha 27[5] kinaeleza kuwa Mtu hatabaguliwa moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja dhidi ya mtu mwingine kwa sababu zozote zilizotajwa au kuzingatiwa katika Ibara ya 4.

    Wanasiasa hao wenye ulemavu hukejeliwa na kutengwa katika harakati za kisiasa kufuatia maumbile yao,ubaguzi huo unawaathiri wanasiasa hao wenye ulemavu,hatua inayowafanya wenzao kushindwa kuendeleza azima yao ya kuwania viti vya kisiasa.

    Mwandishi:Nuru Mwalimu

  69. Licha ya kuwa na ulemavu Wanawake kutoka shirika la Tunaweza Women Living with Disability wamejitosa katika biashara ya kutengeneza siagi ya karanga almaarufu peanut butter walioipa jina la Onja Utamu.

    Siagi hio inatengenezwa kutumia njugu pekee ambazo husagwa kwa kutumia mashini.

  70. Tangu serikali ya kaunti ya Kwale kuongeza idadi ya vituo vya afya nyanjani, Idadi ya wanawake  wanaoaga dunia kutokana na changamoto za kujifungua kaunti ya kwale  imepungua kutoka wanawake 560 Kila mwaka Hadi wanawake 35 Kati wanawake laki 1 wanaojifungua kote  nchini.

    By:Mwanaharusi Rashid

  71. Jamii nyingi uhusisha ulemavu na laana pamoja na ushirikina,huku wengine wakihusisha ulemavu huo na  kasoro zinazotokana kwa mzazi haswa wa kike.Kufuatia madai hayo baadhi ya wanajamii uonekana kuwatenga watoto wanaozaliwa na ulemavu.

    Ukweli ni kwamba watu wenye ulemavu wako sawa tu kama wengine wasio walemavu.Katika Makala haya “Ulemavu Wangu” leo tunaangazia dada watatu waliozaliwa na ulemavu,licha ya baadhi ya watu katika jamii kuwatenga,wazazi wao walijizatiti katika kuwalea na kuwasomesha na kwa sasa wote watatu ni wanaharakati wa kutetea haki za wanawake wenye ulemavu jijini Mombasa chini ya shirika lao la Tunaweza Women With Disability.

    Lucy Chesi pamoja na dadazake wawili wote walizaliwa na ulemavu na cha kufurahisha ni kwamba licha ya kupitia unyanyasaji na kukashifiwa kwa sababu ya maumbile yao,walipuuza kashifa hizo na kujitahidi katika maisha.

    Lucy anasimulia stori yake.

    By:Trezer Odero

  72. Licha ya kuwa na ulemavu Wanawake kutoka shirika la Tunaweza Women Living with Disability wamejitosa katika biashara ya kutengeneza siagi ya karanga almaarufu peanut butter walioipa jina la Onja Utamu.

    Siagi hio inatengenezwa kutumia njugu pekee ambazo husagwa kwa kutumia mashini.

    By:Silvia Maina

  73. Idadi kubwa ya wanawake na watoto wenye ulemavu  wa akili,ulemavu wa kuskia na wale wanaokabiliwa na ulemavu wa kuona wanapitia dhulma mbali mbali ikiwemo ubakaji katika jamii,wengi wa wanaobakwa hutishiwa maisha na husalia kimya wasijue wapi pa kwenda ili kupiga ripoti angalau wapate haki zao za kisheria.

    Katika eneo la Kisauni ambapo ninakutana na msichana mwenye umri wa miaka 16 na ambaye ana ulemavu wa akili,pia mtoto huyu ana ujauzito wa miezi 7 alioupata baada ya kubakwa tangu mwezi wa tisa mwaka jana.

    By:Nuru Mwalimu

  74. Mawasiliano ni mchakato wa kuhamisha taarifa kutoka chombo kimoja hadi kingine.

    Mawasiliano yanaweza kueleweka vyema kama mchakato kati ya wahusika wawili una mwelekeo uliokubaliwa.

    Lakini kwa jamii ya watu wenye changamoto ya matamshi, utumiaji wa simu hizo za mkononi hasa kwa mazungumzo ni changamoto kwao,kama anayosimulia mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala yafuatayo.

  75. Idadi ya uchafu wa plastiki baharini imeongezeka sana katika miaka ya hivi karibuni, Likiwa ni tatizo kubwa linalokabili mazingira duniani.

    Jambo ambalo limeathiri sana upatikanaji wa Samaki kwa sasa katika maeneo mbalimbali ya bahari eneo la pwani, Lakini kikundi cha Gazi Women Magrove Boardwalk kimejitolea kulinda msitu wa mikoko katika eneo hilo la Gazi ili mbali na kulinda mazingira, pia wapate kipato cha kujikidhi kimaisha.

    Kama anavyotueleza mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala haya.



  76. Mara nyingi watu wanapougua wengi wao hawapendi kwenda hospitali kufanya vipimo au kupata ushauri wa kitaalamu kutoka kwa daktari kutokana na uwepo wa dawa madukani.

    Bila kujua kwamba dawa hizo zinaweza kumletea mtu madhara makubwa kwenye afya yake ikiwemo kufanya magonjwa kuwa sugu.

    Hatua ambayo imepelekea wahudumu wa afya wa nyanjani katika Kijiji cha Ribe eneo bunge la Rabai kaunti ya Kilifi, kuelimisha wananchi kuhusu taratibu nzuri za utumiaji wa dawa katika Makala yaliyotayarishwa na mhariri wetu Ruth Keah.

  77. Mara nyingi watu wanapougua wengi wao hawapendi kwenda hospitali kufanya vipimo au kupata ushauri wa kitaalamu kutoka kwa daktari kutokana na uwepo wa dawa madukani.

    Bila kujua kwamba dawa hizo zinaweza kumletea mtu madhara makubwa kwenye afya yake ikiwemo kufanya magonjwa kuwa sugu.

    Hatua ambayo imepelekea wahudumu wa afya wa nyanjani katika Kijiji cha Ribe eneo bunge la Rabai kaunti ya Kilifi, kuelimisha wananchi kuhusu taratibu nzuri za utumiaji wa dawa katika Makala yaliyotayarishwa na mhariri wetu Ruth Keah.

  78. Nchi nyingi za Afrika zinazopatikana Kusini mwa jangwa la Sahara hazina chakula cha kutosha.

    Hali hii hutokana na sababu nyingi ikiwemo mabadiliko ya tabia nchi ambapo wakulima wanaotegemea mvua mara nyingi huishia kutopata mavuno mvua inapokosa kunyesha.

    Mhariri wetu Ruth Keah ametembelea wakulima wa Unyunyiziaji Maji huko Kinango kaunti ya Kwale na kutuandalia Makala yafuatayo.

  79. By:Nasra Mkali

  80. Kufuati kukithiri kwa mabadiliko ya tabia nchi na uchafuzi wa mazingira duniani,Hapa jijini Mombasa watu wenye ulemavu wamejitosa katika utunzaji wa mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na uchafuzi wa mazingira.

    Watu hao wenye ulemavu chini ya shirika la 'Tunaweza Women With Disability' wameanzisha mradi wa kutengeneza bidhaa za urembo kama vile bangili,vipuli na shangaa kwa kutumia karatasi aina mbali mbali ambazo urushwa ovyo kwenye majaa ya taka na kisha kuchomwa hivyo kuchafua mazingira.

    Mwandishi:Athuman Luchi

  81. Idadi kubwa ya wanawake wanaojiufungua watoto wenye ulemavuhujikuta wamepewa talaka au kutengwa na waume zao hatua inayowafanya kuishi maisha magumu.Hata hivyo yapo mashirika yaliyojizatiti katika masuala ya kusaidia watoto walemavu ili kuyaboresha maisha yao ya baadae. Mashirika haya yamewapa wanawake hawa matumaini katika maisha.

    Mwandishi: Mwanaharusi Rashid

  82. Mchezo wa Mpira wa miguu maarufu zaidi kama kandanda au soka, ni mchezo unaopendwa na wengi.

    Katika Makala haya, mhariri wetu Ruth Keah anamuangazi kijana kwa jina Mohammed Munga aliye na ulemavu wa mguu lakini akapuuza ulemavu huo na kwa sasa anang’aa katika ulingo wa soka kimataifa.

  83. Watu wenye ulemavu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kukutana na miundo msingi isiyo rafiki na kunyimwa ajira.

    Hatua, iliyosababisha shirika moja la kibinafsi kuzindua programu ya simu ya rununu inayowawezesha watu wenye ulemavu kupata kazi bila kubaguliwa.

    Kama anavyosimulia Mhariri wetu Ruth Keah kwenye Makala- programu ya rununu inavyosaidia watu wenye ulemavu kupata ajira.

  84. Raisi Uhuru Kenyatta alizindua rasmi zoezi la wasichana walio na umri wa miaka 10 kupewa chanjo dhidi ya ugonjwa wa saratani ya shingo ya uzazi ya Human Papilloma Virus yaani HPV.

    Lakini zoezi hilo limekumbwa na pingamizi kutoka kwa wadau mbalimbali.

    Mhariri wetu Ruth Keah ameandaa Makala maalum ya jinsi habari za urongo mitandaoni pia zimechangia jamii kutokumbatia utoaji huo wa chanjo.

    By:Ruth Keah

  85. Uvuvi wa Kamba mwani kwa kimombo Lobsters ni maarufu katika kaunti ya Lamu haswa katika eneo la Kizingitini kisiwa cha Pate.

    Wavuvi wa Kamba mwani katika kaunti ya Lamu kwa ushirikiano na washikadau mbalimbli wanaendeleza mikakati ya kupata kibali cha kimataifa ili kulifikia soko kubwa, mikakati hii iliyoanza mwaka wa 2011 ni kutokana na uhutaji wa lobsters ulioyopo katika soko.

    Kibali hiki kikitarajiwa kutolewa na Marine stewardship council MSC

    By:Mwanaharusi Rashid

  86. Huku maradhi ya matatizo ya akili yakiendelea kushuhudiwa nchini na ulimwengu kwa jumla, wanawake walio na matatizo haya wamekua wakinyanyaswa kimapenzi, hasa wanaorandaranda mitaani na barabarani kutokana na kukosa wakuwahifadhi.

    By: Nuru Mwalimu.

  87. Idadi kubwa ya wanawake wenye ulemavu wa akili,ulemavu kutosikia na ulemavu wa kuona wanapitia dhulma mbali mbali ikiwemo ubakaji katika jamii, wengi wa wanaobakwa usalia kimya wasijue wapi pa kwenda ili kupiga ripoti angalau wapate haki zao za kisheria.

    Jijini Mombasa Pwani ya Kenya shirika la “Tunaweza Women With Disability” limeanza kutoa usaidizi wa kisheria na mafunzo mbali mbali kwa wanawake wenye ulemavu sawia na wazazi wenye watoto walemavu ili waweze kuzinduka na kupigania haki zao.

    By:Athuman Luchi

  88. Licha ya shirika la afya duniani WHO,kuidhinisha matumizi ya vyandarua vya mbu vilivyotibiwa,hapa nchini Kenya mkakati huu unakabiliwa na changamoto nyingi kwa sababu kuna taarifa za uongo zinazosambaa kwamba vyandarua hivyo husababisha uvamizi wa kunguni majumbani pindi tu  vinapotumika.

    By:Mwanaharusi Rashid.

  89. ATHARI YA KUJAMIANA KINYUME NA MAUMBILE WAKATI WA KUJIFUNGUA.

  90. Kulingana na wataalamu wa afya ni kwamba miale ya jua ni kiungo muhimu kwa afya ya binadamu, ila kuna jamii ya watu ambao jua ni hatari kwao na huchukuliwa kama adui mkubwa kwenye ngozi zao.

    Kwenye Makala haya ya afya  tunaangazia changamoto za watu wenye ulemavu wa ngozi maarufu kwa jina albinism.

    Mtayarishi ni Ibrahim Juma Mudibo.

  91. Wengi hufahamu jina mabuyu yaliyozoeleka kuliwa kwa kumumunya utamu wake ambapo hupikwa kwa kuchanganya na sukari, rangi iwe ya kijani nyekundu au hata njano pamoja na viungo vyengine ambapo badae huuzwa katika paketi kati ya shilingi 5-50

    Lakini je unapomumunya utamu wake unafahamu pale yanapotokaa?.Yanatoka kwa mti wa m'buyu kwa kimombo baobab tree.

    Ni mti mkubwa wa ukanda wa tropiki na  matunda yake ndio yanaitwa mabuyu na lile gamba la tunda linaitwa kibuyu na ubuyu ndio hupikwa na kisha tunaomumunya utamu wake.

    Mti wa m'buyu ambao huzalisha mabuyu hustawi sana katika maeneo yenye joto ,yaliyo makavu ya Afrika na una uwezo wa kuhimili makali ya kiangazi.

    La zaidi ni kwamba wapo wakulima waliozama katika ukulima wa m'buyu kutokana na manufaa mengi yenye kuendeleza uhai.

    Wakulima hawa wanategemea mibuyu iliyopo mashambani mwao pamoja na ile iliyostawi katika msitu wa Kaya Kauma kaunti ya Kilifi.

    By: Mwanaharusi Rashid

  92. Chanjo za Corona haziathiri nguvu za kiume kama inavyodhaniwa na wengi.Mwanahabari wetu alifanya mazungumzo na wanaume waliodungwa chanjo hio na wametibithisha kuwa hawajaathirika,nguvu zao za kiume bado ziko imara.

    By:Athuman Luchi

  93. Ujio wa virusi vya Corona humu nchini ulivuruga shughuli nyingi ikiwemo za kiuchumi.Kina mama wengi wamelazimika kujiunga na vyama vya mashinani ambapo wanapata mikopo bila riba na kujiendeleza na bisahara zao ndogo ndogo. Ruth Keah amezungumza na baadhi ya wanawake waliojiunga na vikundi hivyo na kutuandalia makala haya.

    By:Ruth Keah

  94. Familia nyingi hupata msongo wa mawazo wanapopoteza wapendwa wao kutokana na mauaji ya kiholela.Katika makala haya Ruth Keah amezungumza na baadhi ya waathiriwa ambao wamepoteza jamaa zao mikononi mwa maafisa wa usalama.Wengi kwa sasa wamejiunga na vikundi vya kubadilishana mawazo ili kupunguza msongo wa mawazo wanaopitia.

    By:Ruth Keah.

  95. Mhogo ni chakula kinachoenziwa na wengi na zao ambalo limewapa wakulima mapato humu nchini.

    Chakula chake ni maarufu katika baadhi ya mataifa ya bara la Afrika, Asia na Amerika Kusini.

    Kulingana na shirika la utafiti wa kilimo na mifugo humu nchini KALRO, mihogo inapandwa katika hekari laki moja na elfu sabini na mbili nchini ambapo asilimia 60 hupandwa kutoka eneo la Magharibi, Pwani asilimia 30 na eneo la Mashariki likiwa na asilimia 10.

    Licha ya kuwa tegemeo kwa wakulima, ukulima huo unakabiliwa na changamoto za maradhi ya aina mbili na kusababisha hasara ya mapato kwa wakulima. Moja wapo ya maradhi hayo ni yale ya cassava brownstreak disease yanayofanya mhogo kuwa rangi ya kahawia na yale ya cassava mosaic ambayo yanaweza kudhibitiwa.

    By:Ali Mwalimu

  96. Makala by Ali Nariri

  97. Mbali na kuwa mdudu mkali wapo waliozama katika ufugaji wa nyuki kwa ajili ya uzalishaji wa asali kwa matumizi mbalimbali ikiwemo dawa.

    Ikumbukwe kuwa si wengi wenye ujasiri na ukakamavu wa kufuga nyuki kutokana na dhana na kasumba kuwa ni wadudu hatari kufuga licha ya kuwa na manufaa tele. 

     Ufugaji wa nyuki hauna mahitaji mengi ikilinganishwa na ufugaji mwengine wowote cha msingi ni mfugaji kuwa na mizinga. 

    Kama ukulima na ufugaji wengine wowote ule Nyuki pia hutegemea mvua kwa sababu nyuki hutegemea maua kama chakula na wakati wa mvua ufugaji wa nyuki na uzalishaji asali hushamiri.

    By:Mwanaharusi Rashid

  98. Wanawake wengi wameshindwa kuafiki katika maswala ya uongozi kutokana na kasumba inayoendelezwa na baadhi yao kwamba mwanamke hawezi kuwajibikia majuku yake ipasavyo.

    Kulingana na takwimu za shirika la kimataifa la wanawake UN Women, duniani kuna nchi 27 ambapo wanawake wanachangia chini ya asilimia 10 ya wabunge.

    By:Nuru Mwalim

  99. Pamba ni zao ambalo hustawi vizuri katika sehemu kubwa humu nchini. Lakini licha ya hivyo watu wengi hawajaukumbatia sana ukulima wa mmea huo.

    Mhariri wetu Ruth Keah aliwatembelea baadhi ya wakulima wanaoendeleza ukulima wa pamba ya kisasa katika kaunti ya Kwale na kutuandalia Makala yafuatayo awamu ya pili- Kilimo Cha Pamba ya kisasa chaimarisha Maisha Ya Wakulima Kwale.

    By:Ruth Keah

  100. Pamba ni zao ambalo hustawi vizuri katika sehemu kubwa humu nchini. Lakini licha ya hivyo watu wengi hawajaukumbatia sana ukulima wa mmea huo.

    Mhariri wetu Ruth Keah aliwatembelea baadhi ya wakulima wanaoendeleza ukulima wa pamba ya kisasa katika kaunti ya Kwale na kutuandalia Makala yafuatayo- Kilimo Cha Pamba ya kisasa chaimarisha Maisha Ya Wakulima Kwale.

    BY:Ruth Keah

  101. Simulizi zifuatazo ni za waschana kati ya umri wa miaka 13-14 kutoka shule za msingi tofauti tofauti hapa Kwale.

    Watoto hawa chini ya umri wa miaka 14 wamedhulumiwa kwa kupachikwa mimba na sasa ni walezi wa watoto.

    Ila watoto hawa ambao pia ni wanafunzi wameziweka nia za kuendeleza masomo yao ima kwa mimba au baada ya kujifungua.

    By: Mwanaharusi Rashid

  102. Huku changamoto za taka zikiendelea kulikumba jiji hili la mwambao wa Bahari Hindi, makundi ya kujitegemea yamechipuka kama uyoga kuisaidia serikali ya kaunti ya Mombasa kukabiliana na jinamizi hili.

    By: Majani Rashid

  103. Vijana wabuni ajira kupitia kuboresha usafi wa mazingira mitaani Likoni, Mombasa.

    Huku changamoto za taka zikiendelea kulikumba jiji hili la mwambao wa Bahari Hindi, makundi ya kujitegemea yamechipuka kama uyoga kuisaidia serikali ya kaunti ya Mombasa kukabiliana na jinamizi hili. 

    By: Majani Rashid

  104. Ulemavu ni swala ambalo hadi sasa baadhi ya jamii nchini wanalichukulia kama laana na mzigo katika jamii huku jamii ya kiume ikionekana kuchukua usukani katika dhana hiyo.  

    By:Nuru Mwalimu

  105. Mashindano ya Maboti ufanyika kila mwaka kaunti ya Kilifi bonyeza usikikilize.

    By:Baya Kitsao

  106. Licha ya wengi uidharau kazi ya Manamba na kuihusisha na wezi kwa jina maarufu la mitaani mateja, biashara hii imeonekana kuvutia wengi katika kaunti ya Mombasa bila kigezo cha mri.Mwanahabari wetu Nuru Mwalimu ametuandalia makala kuhusu Biashara ya Manamba Mombasa.

    By:Nuru Mwalimu

  107. Licha ya kuwa jamii inawatenga kutokana na maumbile yao, idadi kubwa ya walemavu eneo la Pwani wamejikita katika biashara ndogo ndogo ili kujikimu kimaisha.Katika kaunti ya Kwale baadhi ya walemavu wamejikita katika uuzaji wa njuguu.

    By:Athuman Luchi

  108. Wanawake ulimwenguni wanaendelea kujitokeza kwa hali na mali kupigania usawa wa kijinsia kwa kujiunga katika ulingo wa siasa.Katika makala haya Mhariri wetu Ruth Keah amezungumza na wanawake ambao wamejitokeza kuwania nafasi za uongozi katika siasa mwaka 2022.

    By:Ruth Keah


  109. Tangu kuanzishwa kwa mradi wa ‘Elimu Ni Sasa Initiative’kaunti ya Kwake idadi kubwa ya wanafunzi katika kaunti hio wanaofanya vyema wanajiunga na shule za upili na vyuo vikuu ikilinganishwa na miaka ya nyuma ambapo wanafunzi wengi hasa kutoka familia maskini walikuwa wanakwama kuendeleza masomo yao.

    Mfumo wa Elimu Ni Sasa ulianzishwa mwaka 2013 na lengo kuu ni kuimarisha viwango vya elimu katika kaunti ya Kwale, kama ulipaji wa karo kwa wanafunzi wanaojiunga na shule za upili na vyuo vikuu na vyuo vya ufundi.

    By: Athuman Luchi

  110. Licha ya kuwa ugonjwa wa selimundu yaani Sickle Cell kuwa hatari na usiokuwa na tiba cha kushangaza ni kuwa kuna baadhi ya watu wanaougua ugonjwa huo wanaamini kuwa chanjo ya corona sio salama kwao,hivo kususia kudungwa chanjo hio.

    By:Athuman Luchi

  111. Suala la takataka kujaaa katika majaa pamoja na mitaani huenda likawa linachukua mkondo mwengine baada ya serikali ya kaunti ya Mombasa, mashirika binafsi pamoja na vijana kuongeza juhudi za kusafisha mazingira.

    Jaa la Kibarani ambalo limekuwa kero kwa wengi kwa miaka mingi kwa sasa ni bustani nzuri ya wananchi kupata upepo mwanana.

    Je ni vipi jaa hilo lilibadilishwa hadi kuwa bustani ?

    By Ali Nariri

  112. By Athman Luchi

  113. Nchini Kenya inakadiriwa kuwa mtu mmoja kati ya watu 10 anaugua shida ya akili, Huku mtu mmoja kati ya watu wanne wenye ugonjwa wa akili anahudhuria vituo vya afya.

    Wagonjwa wengi wa akili ujipata wametengwa katika jamii na wanaonekana kama waliolaniwa. 

    Jijini Mombasa kumefunguliwa makao na kituo maalumu ya kuwahudumia wagonjwa wa akili cha Women Empowerment for Mental illiness Treatment and Rehabilitation Centre kufunguliwa eneo la Miritini.

    Kituo hicho kwa sasa kina hifadhi zaidi ya wagonjwa akili 65, huku zaidi ya 50 wakiwa wamepona.

    BY: Athuman Luchi.

  114. Ujio wa chanjo ya kudhibithi virusi vya corona nchini imepokelewa kwa mtazamo tofauti , huku baadhi wakisema kuwa chanjo hiyo inazuwia wanawake kupata uja uzito sambamba  na wanaume kutokuwa na uwezo wa kuzalisha.


    By: Nuru Mwalimu

  115. Wakati huu dunia ikiendelea kuhakikisha chanjo dhidi ya virusi ya corona imesambazwa kwa kila mtu duniani,Asasi za afya zikiongozwa na shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO limetoa wito kwa umma kupuuza habari za urongo zinazosambazwa kuhusu chanjo hizo na kudungwa.

    Miongoni mwa habari hizo za urongo zimeelekezewa wanawake zikidai kuwa wanapopata chanjo hiyo watapoteza afya yao ya kizazi.

    Katika makala haya, baadhi ya wanawake  wamezungumzia hisia zao kuhusiana na chanjo hiyo inayotolewa humu nchini Kenya ya Astrazeneca.

    By Ruth Keah

  116. By Ali Nariri

  117. Dawa kali za kulevya kama heroin almaarufu kwa jina unga ni miongoni mwa mihadarati inayojulikana sana Pwani ya Kenya katika miji ya Mombasa, Kwale, Lamu na Kilifi.

    Dawa hizi zimewasababishia watumizi walio vijana, watu wazima waume kwa wanawake hasara kubwa za kiafya, kiuchumi na kijamii.

    Pindi mtu anapoanza ya matumizi ya heroine tabia zake hubadilika pakubwa na sio rahisi kuiacha.

    Utafiti uliotekelezwa 2016 na profesa Nicole Lee mshirika katika taasisi ya utafiti wa dawa za kulevya, chuo kikuu cha Curtin  unaonesha kuwa  asilimia 10 ya watu wanategemea pombe na dawa nyingine za kulevya na kwamba kuepuka matumizi huwa ni vigumu baada ya miili yao kuwa tegemezi yani “addicted” na sababu nyingine tofauti.

    Lakini kwa Naima sababu hizo haziikuwa kizuizi kwake kuondoka kwenye uraibu baada ya muda huo wote na sasa ni miaka 7 tangu aanze safari ya kujinasua.

    Karibu kwenye makala haya ya MUI HUWA MWEMA tukiangazia namna watumizi wa dawa za kulevya wanavyoweza kubadilika na kuwa bora katika jamii jina langu ni Ibrahim Juma Mudibo.

    By Ibrahim Juma

  118. By Ruth Keah

  119. Mabadiliko ya tabia nchi huathiri shughuli za kibinadamu huku tafiti zikionyesha kuwa wanawake wana uwezekano mkubwa kuathirika na mabadiliko ya tabia nchi zaidi ya wanaume.


    Makala haya yanaangazia jinsi mabadiliko ya tabia nchi yamewaathiri wanawake kutoka familia za wafugaji huko Maungu kaunti ya Taita Taveta kiasi cha kuwa wamebadilisha   majukumu ya familia. Ambapo kwa sasa wanawake wanajukumika kulinda familia huku wanaume wakikaa tu.

    By Ruth Keah

  120. Kulingana na wizara ya afya nchini Kenya, takribani 2% ya Wakenya wamedungwa chanjo hio, huku kati ya 2% ya watu waliodungwa chanjo ya corona zaidi ni wanaume.

    Pamoja na hayo, kuna uvumi  unaoendelea kuwa chanjo hiyo husababisha utasa na kupoteza nguvu za kiume.

     Licha ya kuweko na uvumi huo, idadi kubwa ya wanaume wanaendelea kudungwa chanjo hio.

    By Athman Luchi

  121. Khuntha ni watoto wanauzaliwa na jinsia mbili ambapo wakati mwengine jinsi moja huzidi nyengine, katika makala haya tutazungumzia utekelezaji wa haki kwa watoto wanaozaliwa khuntha

    By Nuru Mwalimu

  122. By Ruth Keah

  123. Tatizo la wanyamapori kuingia katika mashamba ya watu katika kaunti ya Taita Taveta limekuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo kwa miaka mingi.


    Ili kutatua tatizo hilo, mtafiti wa kisayansi Simon Kasaine, alivumbua singe’nge inayotengenezwa kwa mabati madogo madogo na kupewa jina la KASAINE FENCES. Mhariri wa Radio Rahma Ruth Keah alizuru eneo la Maungu ambapo wakulima wamenufaika na singe’nge hiyo na kuandaa makala haya.

    By Ruth Keah

  124. Makala By Mwanaharusi Rashid

  125. Kaunti ya Mombasa ina idadi kubwa ya waraibu wa kike wa mihadharati, ambao wengi wao hujipata wamebakwa wakiwa maskani mwao.


    Wengi wa waraibu hao hushindwa kutafuta haki baada ya kubakwa,hivyo kuishia kuishi na makovu ya milele.

    By Athman Luchi

  126. Kuhusu jinsi wanafunzi wanauza miili yao ili wapate pesa ya kununua sodo kutokana na umaskini

    by Baya

  127. Awamu ya pili ya makala ya dhana kuwa mchanganyiko wa tangawizi, limau na asali ni kinga na vilevile tiba ya Covid-19.

    by Mwanaharusi Rashid

  128. Makala haya mitandao ya kijamii inavyoeneza habari za urongo kuhusu chanjo ya virusi vya Corona ni sehemu ya pili. Inazungumzia jinsi watu waliokuwa tayari kupata chanjo ya virusi vya corona pindu tu vilipothibitishwa humu nchini. Lakini kwa sasa wamebadili nia zao kwasababu ya habari walizozisoma kutoka mitandao ya kijamii kuhusu chanjo hizo.

    by Ruth Keah

  129. Tunaendelea na sehemu ya pili ya makala dhana ya kutokuwepo na Corona nchini Kenya. Katika sehemu hii ya pili tunaungana na wakenya waliopata virusi vya Corona hapa nchini.

    by Nuru Mwalimu

  130. Licha ya baadhi ya watu katika jamii zetu kuamini kuwa watu wanaougua ugonjwa wa Sickle Cell yaani Selimundu hawashikwi na korona, tumepata kuona kuwa dhana hiyo haina ushahidi wowote wa kitaalamu.

    Karibu katika makala haya ambapo leo tuna weka wazi kuwa wagonjwa wa sickle cell wanashikwa na corona kinyume na inavyodhaniwa na baadhi ya watu. 

    Kulingana na mtaalamu wa sickle Cell kutoka London kule Uingereza daktari Rachel Kesse-Adu, katika awamu ya kwanza ya corona wagonjwa 250 wa sickle cell waliambukizwa virusi hivyo na idadi hio ikapanda hadi watu 555 katika awamu ya pili ya msambao wa corona.

    Jina langu ni Athuman Luchi

  131. Baadhi ya wakenya wako na dhana kuwa hakuna corona nchini kenya kutokana na kuwa wa afrika wako na kinga thabith ambayo inawakinga didhi ya kupatwa na virusi hivyo huku baadhi wakidai kuwa ni mpango wa serikali kujipatia fedha.

    by Nuru Mwalimu

  132. Ni kuhusu dhana kuwa mchanganyiko wa tangawizi, maji ya limau na asali ni kinga na vilevile tiba ya corona.

    Hii ni sehemu ya kwanza ya makala. Lengo ni kusambaza ujumbe kwa wale wanaoamini dhana hii kuwa dawa.

    ....Baada ya kuzuka kwa virusi vya corona kumekua na habari aina tofauti kuhusu hatua za kuchukua kuepuka kuambukizwa, na habari nyengine kuhusiana na tiba ya corona.

    Mojawapo ya habari iliyopata umaarufu nchini ni kuhusu utumizi wa tangawizi, limau na asali.

    Je mchanganyiko wa tangawizi, maji ya limau na asali ni kinga au tiba ya corona.

    by Mwanaharusi Rashid

  133. Janga la corona, limekuja na changamoto si haba kwa watu wote duniani na hapa nchini Kenya, watoto wameathirika zaidi. 

    Katika kaunti za Mombasa, Kwale na Kilifi, Watoto wanaougua maradhin ya sickle cell wako katika hatari ya kuambukizwa virusi vya korona kwani kuna dhana potofu kuhusu hali yao na jinsi corona haiwezi kuwaathiri.

    Baadhi ya wazazi wanadai kuwa wagonjwa wa sickle cell hawashikwi na corona.

    Athman Luchi

  134. Makala haya  MITANDAO YA KIJAMII INAVYOCHANGIA UTOAJI WA HABARI KUHUSU CHANJO YA VIRUSI VYA CORONA    yanazungumzia kuhusu jinsi watu wanavyopokea habari tofauti tofauti kuhusu chanjo ya ugonjwa wa Covid- 19 hasa  kupitia mitandao ya kijamii.

    Ruth Keah.

  135. Makala by Ruth Keah

  136. Makala by Faiz Musa

  137. Makala by Ruth Keah

  138. Makala by Faiz Musa

  139. Makala by Ruth Keah

  140. Makala by Faiz Musa

  141. Makala by Ruth Keah

  142. Makala by Faiz Musa

  143. Makala by Ruth Keah

  144. Makala by Faiz Musa

  145. Makala by Faiz Musa

  146. Makala by Ruth Keah

  147. Makala by Ruth Keah

  148. Makala by Ruth Keah

  149. Makala haya yanazungumzia ubunifu wa barakoa maalum kwa watu walio na changamoto ya kusikia na kuzungumza uliofanywa na shirika la Coast Association with persons living with disability. Barakoa ambazo zitawawezesha kuwasiliana na watu kwa urahisi na kwa wakati huo huo kujikinga na virusi vya Corona

    Makala by Ruth Keah

  150. Makala haya yanazungumzia ubunifu wa barakoa maalum kwa watu walio na changamoto ya kusikia na kuzungumza uliofanywa na shirika la Coast Association with persons living with disability. Barakoa ambazo zitawawezesha kuwasiliana na watu kwa urahisi na kwa wakati huo huo kujikinga na virusi vya Corona

    Makala by Ruth Keah

  151. Makala by Ruth Keah

  152. Makala by Faiz Musa

  153. Makala by Ruth Keah

  154. Makala by Faiz Musa

  155. Makala by Ruth Keah

  156. Makala by Ruth Keah

  157. Makala by Baya

  158. Makala by Ruth Keah

  159. Makala by Faiz Musa

  160. Makala by Ruth Keah

  161. Makala by Faiz Musa

  162. Makala by Faiz Musa

  163. Makala by Faiz Musa

  164. Makala by Ali Nariri

  165. Makala by Faiz Musa

  166. Makala by Athman Luchi

  167. Makala by Ruth Keah

  168. Makala by baya

  169. Makala by Athman Luchi

  170. Makala by Faiz Musa

  171. Makala by Mwanaharusi Rashid

  172. Makala by Faiz Musa

  173. Makala by Nasra Mkali

  174. Makala by Ruth Keah

  175. Makala by Ruth Keah

  176. Makala by Ruth Keah

  177. Makala kuhusu mihogo ya kisayansi 

    by Ali Mwalimu

  178. Wanawake wanajitahidi kulinda mazingira

    makala by Ruth Keah 

  179. Hasara ya utumizi wa dawa za kulevya 

    makala by Faiz Musa 

  180. Athari za corona kwa watoto part 2

    makala by Ruth Keah

  181. Corona imeathiri vp chanjo za watoto?

    by Ruth Keah

  182. usiwadharau waosha vyoo, kazi ni nadra kupatikana nchini

  183. Ndoa za mapema na athari zake by Ruth Keah

  184. Makala ya kifo cha Uzazi Njiani

  185. Kutokana na Uchafuzi wa hali ya hewa ulimwengu, utumizi wa baiskeli unapendekezwa zaidi maana hazina moshi hivyo hazichafui mazingira. Sikiliza makala hayo kuelewa zaidi kuhusiana na baiskeli.

    Makala by Faiz Musa 

  186. Tutakuwa tunaweka makala ya mada mbali mbali katika mtandao wetu wa podcast yetu. Karibu sana