NACADA yachunguza utumizi wa dawa ya kulevya ya Fentanyl Pwani
Shirika la NACADA limeweka wazi kuwa litatoa ripoti kamili ya uchunguzi kuhusu utumizi wa dawa ya kulevya inayokisiwa kuwa Fentanyl.
Shirika la NACADA limeweka wazi kuwa litatoa ripoti kamili ya uchunguzi kuhusu utumizi wa dawa ya kulevya inayokisiwa kuwa Fentanyl.
Huku ulimwengu ukiadhimisha wiki ya kunyonyesha,waraibu wa dawa za kulevya kanda ya Pwani wametakiwa kuwanyonyesha watoto wao ili wapate afya bora.
Wanasiasa wametajwa kuchangia kwa kiwango fulani katika kuleta migawanyiko miongoni mwa wanajamii katika kaunti ya Lamu.
Serikali ya kaunti ya Lamu imefanikiwa kurudisha katika mikono ya serikali vipande vya aridhi zaidi ya 66 ambazo zilikuwa zimenyakuliwa na watu binafsi.
Gavana wa Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir ameitaka idara usalama kaunti ya Mombasa kufichua wale wanao jihusisha na ulangulizi wa dawa za kulevya Mombasa.