Wanamgambo wawaua mateka 17 katika maeneo yenye machafuko DR Congo
Kundi la wanamgambo wa Codeco siku ya Jumapili liliwaua watu 17 ambalo lilikuwa limewakamata katika eneo la Djugu, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Kundi la wanamgambo wa Codeco siku ya Jumapili liliwaua watu 17 ambalo lilikuwa limewakamata katika eneo la Djugu, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Uingereza, viongozi wa dunia na wafalme kote ulimwenguni wanatarajiwa leo kuuaga na kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Malkia Elizabeth wa pili.
Umoja wa Mataifa umesema utaanzisha uchunguzi wa mashambulizi dhidi ya gereza moja mashariki mwa Ukraine linaloshikiliwa na Urusi.
Watu wanne wakiwemo polisi wawili wameuawa na waasi wenye silaha huko Maidan kaskazini magharibi mwa Pakistan.
Meli ya kwanza iliyobeba shehena ya ngano kutoka Ukraine imewasili kwenye lango la bandari ya Bosphorus nchini Uturuki kwa ajili ya ukaguzi. Meli hiyo iliyoondoka bandari ya Odesa siku ya Jumatatu inadhamiria kutia nanga nchini Lebanon.