Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano imepanga kuchapisha orodha ya maneno ya Kiswahili, Kiingereza na lugha za kienyeji ambayo yatajumuisha matamshi ya chuki.
Mwenyekiti wa NCIC Samuel Kobia amesema maneno hayo yatapigwa marufuku kuanzia sasa katika mikutano ya hadhara, machapisho ya mitandao ya kijamii na vipindi vya mazungumzo ya kisiasa.
Ripota wetu Silvia Maina anatujuza kwa ukamilifu