Mizozo kati ya wafugaji na wakulima wapungua Hindi Lamu
Mizozo kati ya wafugaji na wakulima katika eneo la Hindi Lamu Magharibi imetajwa kupungua kwa kiwango kikubwa.
Mizozo kati ya wafugaji na wakulima katika eneo la Hindi Lamu Magharibi imetajwa kupungua kwa kiwango kikubwa.
Serikali ya kaunti ya Kwale imelitaka shirika la huduma kwa wanyamapori nchini (KWS) kutatua suala la mizozo ya binadamu na wanyamapori ambalo limekuwa donda sugu katika kaunti hiyo.
Mawakili wanaosimamia kanisa la New life linalomilikiwa na pasta Ezekiel Odero wametofautiana vikali na jopo lililoundwa na rais la kutathmini mwongozo wa dini hapa nchini.
Jumla ya watu Saba wamejitokeza kuwania nyadhfa mbali mbali katika uchaguzi wa muungano wa mabaharia nchini SUK.
Wakaazi wa Ndau Lamu Mashariki wameshauriwa kutouza ardhi zao kwa sababu zisizokuwa na msingi pindi watakapopata hatimiliki ya ardhi zao.