Waendesha bodaboda Kwale wapendekeza polisi kuongezewa mishahara
Baadhi ya wahudumu wa bodaboda katika kaunti ya Kwale sasa wanapendekeza nyongeza ya mishahara kwa maafisa wa polisi ili kuboresha utendakazi wao.
Baadhi ya wahudumu wa bodaboda katika kaunti ya Kwale sasa wanapendekeza nyongeza ya mishahara kwa maafisa wa polisi ili kuboresha utendakazi wao.
Makundi ya matembezi kaunti ya Kwale na Kilifi kwa ushirikiano na shirika la watu wenye ulemavu wa kuona la African Union of the Blind limewahimiza madereva kuzingatia sheria za barabarani.
Ukosefu wa wauguzi kujua jinsi ya kushughulikia majanga kuliwasababishia wao kuwa na wasiwasi wakati wa janga la Covid-19.
Zaidi ya wakulima 500 kutoka eneo la Tiwi huko Matuga kaunti ya Kwale wanakadiria hasara ya mimea shambani kuharibiwa kufutia mzozo wa umiliki wa ardhini ya Mbela katika eneo hilo.
Serikali ya kaunti ya Mombasa inalenga kubadili vitengo 16 vya usimamizi wa fuo za bahari yaani BMU hapa Mombasa kuwa vyama vya ushirika.