Jeshi la Nigeria lampata msichana wa shule ya Chibok miaka minane baada ya kutekwa nyara
Jeshi la Nigeria limempata mmoja wa wasichana wa shule ya kijiji cha Chibok aliyekuwa ametekwa nyara na kundi la wanamgambo wa kiislamu la Boko Haram miaka minane iliyopita, maafisa wa jeshi wamesema Jumatano.