Uvamizi wa Russia nchini Ukraine huwenda ukachukua muda mrefu; inasema idara za kijasusi Marekani
Idara za kijasusi za Marekani zimefikia uwamuzi kwamba uvamizi wa Russia nchini Ukraine huenda ukaendelea kwa muda mrefu lakini kwamba wanajeshi wa Moscow huwenda katika muda mfupi hawataweza kusonga mbele zaidi ya jimbo la mashariki mwa Ukraine.